Pages

Ads 468x60px

Monday, July 22, 2013

SERIKALI..TUMESIKIA SUALA LA KODI YA LINE, TUNALIFANYIA KAZI.

SERIKALI KUSHUGHULIKIA MAPENDEKEZO TOZO KODI ZA SIMU

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 9 hours ago
** *Waziri wa Fedha Dk. William Mgimwa akisisitiza jambo juu ya tozo la kodi katika laini za simu wakati alipokutana na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. (Picha na Frank Shija – Maelezo)* * * *Na. Eliphace Marwa (MAELEZO) * * * *Serikali yawataka wananchi kutokuwa na wasiwasi kuhusiana na mpango wa ukusanyaji wa kodi ya laini za simu. * * * *Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Fedha Dk. William Mgimwa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam. * * * *Mgimwa amesema kuwa Serikali inaendelea kukutana na wadau mbalimbali ili kujadili na kupokea mapen... more »
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment