Pages

Ads 468x60px

Saturday, July 20, 2013

RAGE NA UCHAWI WA MDOMO KTK MPIRA RAGE

RAGE AGEUKA SHUJAA MKUTANO WA SIMBA, WAFANYIKA KWA SAA MOJA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 11 hours ago
** * Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akifafanua jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa Simba wa kujadili maendeleo ya klabu hiyo ulioanza saa nne kamili na kumalizika saa tano kamili katika Bwalo la Maofisa wa Polisi jijini Dar es Salaam leo, ambapo wanachama zaidi ya 700 walihudhuria mkutano huo.* ** *Mwanachama wa Simba kutoka Iringa akiuliza swali katika mkutano huo.* ** * Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali (kushoto) akifuatilia mkutano huo.* ** * Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano huo.* * * *BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI*
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment