Pages

Ads 468x60px

Sunday, July 21, 2013

HABARI MPYA

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA SIKU MOJA WA TROIKA YA SADC JIJINI PRETORIA, AFRIKA KUSINI

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 21 minutes ago
** *Rais Jakaya Mrisho Kikwete akijibu maswali toka kwa wanahabari wakati wa mkutano wa pamoja na waandishi wa habari mara baada ya mkutano wa siku moja wa Kamati ya Troika ya Siasa na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Organ Troika on Politics, Defence and Security Cooperation) katika jumba la wageni wa Rais la Sefako Makgatho jijini Pretoria, Afrika Kusini, Jumamosi usiku. Kutoka kulia ni Rais wa Afrika Kusini Mhe Jacob Zuma, Rais wa Msumbiji ambaye pia ni mwenyekiti wa SADC Mhe Armando Guebuza, Katibu Mtendajji wa SADC Dkt Tomaz Augusto Salomão na Waziri wa M... more »

SERENGETI FREIGHT WAAMUA KUFANYA KWELI, MZEE WA KAZI ARUKA NA PIPA LA KQ KUJIONEA MAMBO YALIVYO MSWANO

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 38 minutes ago
***BAADA YA KUONA SUALA LA KUSAFIRISHA VIFURUSHI KWENDA NAIROBI NA DAR LIMEKUWA GUMU KWA WATANZANIA NA WAKENYA WAISHIO UK, WAZEE WA KAZI WALIAMUA KULITAFUTIA UFUMBUZI AMBAPO MZEE WA KAZI CHRIS LUKOSI ALISAFIRI KWENDA NAIROBI NA DAR ES SALAAM MWISHO MWA MWEZI WA SITA KUHAKIKISHA KUWA SHUGHULIA ZA MIZIGO ZINABORESHWA NA KUHAKIKISHA WANASHIRIKIANA NA MAWAKALA AMBAO WAKO KIKAZI ZAIDI.* *KUANZIA SASA MIZIGO YOTE YA SERENGETI ITAKUWA INASAFIRISHWA NA KENYA AIRWAYS ILI ISICHELEWE NJIANI* *PICHANI MZEE WA KAZI ALIPEWA NAFASI YA KUSAFIRI NA MZIGO KUTOKA LONDON MPAKA DAR ES SALAAM ILI KUJIO... more »

wadau walia na 'tigo fasta' baada ya mfanyabiashara kuuwawa magomeni mapipa

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 53 minutes ago
*Mfanyabiashara mmoja ameuwawa na majambazi walokuwa wakitumia usafiri wa pikipiki maarufu kama Boda Boda huko Magomeni Mapipa jijini Dar es salaam, karibu na makutano ya mtaa wa Jaribu na Tosheka milango ya saa 4 asubuhi tarehe 19 July, 2013 siku ya ijumaa na kumpora pesa taslim millioni 8 na laki 3. * *Tukio hilo limetokea nyumbani kwake barazani akiwa ametoka bank kuchukua pesa hizo na kuvamiwa na majambazi hayo. Mfanya biashara huyo mwenye asili ya kiarabu anaitwa Abdul Hakim Salmin na alikuwa maarufu sana katiko maeneo hayo. * * Marehemu amezikwa katika makaburi ya Kisutu na ame... more »

2012 MARATHON OLYMPIC CHAMPION BARES ALL TO SPORAH SHOW

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 1 hour ago
** *THE 2012 OLYMPIC CHAMPION IN THE MARATHON SAYS IT ALL..! Stephen Kiprotich is a Ugandan long-distance runner, born in Kapchorwa District. He is the 2012 Olympic champion in the marathon, with a winning time of 2:08:01 in hot, sunny, and humid conditions. * *MORE ON www.sporah.com*

Waziri Chikawe azindua Kitabu kiitwacho (Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania)

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 1 hour ago
** *Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mathias Chikawe (kulia)akikata utepe kuzindua rasmi kitabu hicho(katikati) Mtunzi wa kitabu cha (Mabadiko ya Katiba na Hatima na Tanzania) Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba(kushoto) Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi. * ** *Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mthias Chikawe (kulia)akionesha kitabu hicho mara baada ya kukizindua(katikati) Mtunzi wa kitabu cha (Mabadiko ya Katiba na Hatima na Tanzania) Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba(kushoto) Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi. * ** *Waandishi wa habari wakisiki... more »

Kocha Bert Trautmann na soka la Tanzania, alituwekea msingi…..

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 1 hour ago
*Na Israel saria* *WIKI hii ulimwengu wa soka umempoteza mmoja wa wataalam wa soka waliobobea, Mjerumani Bert Trautmann (pichani) aliyefariki dunia Ijumaa ya Julai 19, 2013 jijini Valencia nchiniHispania alikoamua kuweka makao yake baada ya kustaafu shughuli za soka. Amefariki akiwa na umri wa miaka 89 akikaribia miaka 90 kwani alizaliwa jijini Bremen, Ujerumani Oktoba 22, 1923. Msiba huu unatugusa Watanzania kwa sababu mtaalam huyo alikuwepo nchini mwetu mwaka 1975 katika kutimiza mpango maalum wa FIFA wa kutuma wataalam wake kuinua soka kwenye nchi zilizokuwa chini kisoka.**Alianzi... more »

MAALIM SEIF ZIARANI MKOA WA KUSINI UNGUJA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 4 hours ago
*Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, leo amefanya ziara ya kuwatembelea na kuwafariji wagonjwa na wafiwa katika Mkoa wa Kusini Unguja. * * * *Katika ziara hiyo Maalim Seif amewaombea wagonjwa hao ambao ni watu wazima wapone haraka, pamoja na kuwataka wafiwa kuwa na subra katika kipindi hiki cha misiba inayowakabili. * * * *Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wagonjwa hao wamemshukuru Makamu wa Kwanza wa Rais kwa kuandaa ziara hiyo ya kuwafariji, ambayo wamesema inathibitisha kuwepo na upendo na ukaribu baina ya viongozi na wananchi. * * * *Jumla ya wagonjwa na... more »

Vodacom Foundation yaendelea kuwa karibu na jamii katika kipindi hiki cha mfungo mtukufu wa Ramadhan

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 4 hours ago
** *Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Evarest Ndikilo akishirikiana na Mfanyakazi wa Vodacom Mwanza Jumao Khamis kukabidhi kitoweo cha mbuzi kwa wanafunzi wa moja ya madrasa za jijini humo zilizonufaika na sadaka ya vyakula kutoka Vodacom Foundation kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom ya kufuturisha na kusaidia madarasa na Makundi mengine ya wasiojiweza wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.Hafla hiyo ilihusisha pia futari kwa wanafunzi wa madrasa na jumuiya za kiislamu za jijini Mwanza.Kulia ni Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Sheikh Salum Fereji. * ** *Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi E... more »

ZIARA YA WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA SONGEA MJINI

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 4 hours ago
** *Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Idara ya uhamiaji wakati alipowasili kwenye jengo la Idara hiyo mjini Songea kuweka jiwe la msingi akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 20, 2013.* ** *Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mabwawa ya kufugia samaki wakati alipotembelea Kituo cha Maendeleo ya Ufugaji Samaki cha Ruhila kilichopo mjini Songea. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 20, 2013.* ** *Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama chakula cha samaki wakati alipotembelea Kituo cha Maendeleo ya Ufugaji wa Samaki cha Ruhila kilichopo Songea ... more »

USALAMA NI MTAJI WA MAENDELEO - IGP MWEMA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** *Na. Tamimu Adam- Jeshi la Polisi* * * *Vikundi vya ulinzi shirikishi kote nchini vimetakiwa kuwa makini na kuzingatia madili katika kutekeleza majukumu yao ya kuimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yao ili kupunguza uhalifu hapa nchini. * * * *Hayo yalisemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Said Mwema wakati akijibu swali kuhusu mafanikio yaliyopatikana tangu kuanzishwa kwa program ya Polisi jamii na Ulinzi shirikishi ambapo alibainisha kuwa mpaka hivi sasa vikundi hivyo vimefikia zaidi ya 4500 nchi nzima * * * *IGP Mwema alijibu swali hilo wakati alipokutana na waandishi ... more »

WABUKINI KUCHEZESHA STAR, UGANDA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** *Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Madagascar kuchezesha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Uganda (The Cranes) itakayochezwa Jumamosi (Julai 27 mwaka huu) Uwanja wa Mandela ulioko Namboole nje kidogo ya Jiji la Kampala.* *Waamuzi wataongozwa na Kanoso Abdoul Ohabee wakati mwamuzi msaidizi namba moja ni Andirvoavonjy Pierre Jean Eric. Mwamuzi msaidizi namba mbili ni Jinoro Velomanana Ferdinand huku Andriamiharisoa Hubert Marie Bruno akiwa mwamuzi wa mezani (fourth official).* *Kamishna wa mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya mwisho kuwania tik... more »

Makutano Show: Muungano UmeKufa - Tundu Lissu

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 6 hours ago

mfano wa kuigwa: mtanange kati ya wachungaji na mashekhe

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 7 hours ago
** *Hii ni game ya soccer kati ya viongozi wa dini ya Kiislam (Imams) na kikstrotu (Mapadre) iliyofanyoka huko Yorkshire, UK. Viongozi hawa hawakuishia kuvaa majoho yao na kuhubiri bali waliamua kujumuika na kucheza game kwa ajili ya Charity na waliweza kuc kiashangisha i cha Paundi elfu 5 za kiingereza* *Imagine tungekuwa nao viongozi wetu wa dini kwenye jogging clubs na wakaonyesha wao wanavyoshirikiana na jamii katika nyanja mbalimbali. Hii ni changamoto sana kwetu.* * * *Tafadhalini toeni maoni yenu kuhusu hili.* *MDAU UK*

URA YAIFUNGA SIMBA 2-1

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 7 hours ago
** * Mshambuliaji wa Simba, Marcel Boniventure akichuana na beki wa URA ya Uganda, Walulya Derrick katika mchezo wa kimatifa wa kirafiki uliofanyika le okwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. URA imeshinda 2-1. (Picha na Habari Mseto Blog)* ** *Mshambuliaji wa Simba, Marcel Boniventure akitafuta mbinu za kumtoka beki wa URA ya Uganda, Walulya Derrick.* ** *Mshambuliaji wa Simba, Betram Mombeki akishangilia bao pekee aliloifungia timu yake katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki dhidi ya URA ya Uganda. * ** * Heka heka katika lango la URA. * ** * Beki wa URA, Mugabi Jonathan akito... more »

MEYA WA ILALA AFANYA ZIARA KATIKA MASOKO YA ILALA NA BUGURUNI KUKAGUA BEI ZA BIDHAA KIPINDI HIKI CHA MFUNGO WA RAMADHAN

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 7 hours ago
*[image: IMG_9312]* *Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa ( wa nne kulia)akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyabiashara wa mihogo katika soko la Ilala alipofanya ziara rasmi katika masoko ya Buguruni na Ilala kuangalia utofauti wa bei za bidhaa katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani. * *Mstahiki Meya aliwaasa wafanyabiashara kutokupandisha bei ya bidhaa mbalimbali wakati mwezi mtukufu wa Ramadhani ili kuwawezesha Waislamu wa mkoa wa Dar kuwa na mfungo mwema na wao pia kupata Thawabu kwa Mwenyezi Mungu kwani watawezesha hata wale wenye kipato cha chin... more »
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment