Mama Kikwete awataka wanawake kutobaguana kutokana na totauti zao za vyama vya siasa
**
*Na Anna Nkinda – Maelezo *
*
*
*Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanawake wa dini zote nchini
kutokubaguana kutokana na itikadi zao za vyama vya siasa bali wawe mstari
wa mbele kuhubiri amani na upendo. *
*
*
*Mama Kikwete aliyasema hayo jana wakati akiwafutarisha wanawake wa dini
mbalimbali Ikulu jijini Dar es Salaam. *
*
*
*Mama Kikwete alisema kuwa ukosefu wa amani ukitokea katika nchi wanawake
na watoto ndiyo wahanga wakubwa hivyo basi wasikubali watu kuwadanganya
bali wawe na msimamo na umoja ili waweze kuilinda amani ambayo ndiyo silaha
pekee ya kuwaletea ukombozi il... more »




No comments:
Post a Comment