Pages

Ads 468x60px

Friday, July 19, 2013

HABARI MPYA

taarifa kutoka Shirikisho la Soka nchini (TFF)

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 15 minutes ago

TANZANIA YAPOKEA MKOPO WA BILIONI 87 ZA UJENZI WA VITUO VYA KUHIFADHIA VITAMBULISHO VYA TAIFA KUTOKA BENKI YA EXPORT IMPORT YA KOREA Posted: 18 Jul 2013 01:26 PM PDT

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 15 minutes ago
** *Waziri wa Fedha Dkt.William Mgimwa na Mwenyekiti na Rais wa Benki ya Export Import ya Korea wakisaini mkataba wa mkopo kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa leo jijini Dar Es Salaam.* ** *Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa na Mwenyekiti na Rais wa Benki ya Export Import ya Korea wakiangalia mikataba ya mkopo baada ya kusaini kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa leo jijini Dar Es Salaam. * ** *Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa (kushoto)akimpa mkono wa shukrani Mwenyekiti na Rais wa Benki ya Export Import ya Korea baada ya kusaini ... more »

Balozi Mulamula awasilisha hati za utambulisho kwa rais obama white house,APOKELEWA KWA SHANGWE WASHINGTON DC

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 28 minutes ago
** *Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula akiwa na Rais Barack Obama mara baada ya kuwasilisha hati ya utambulisho katika Ikulu ya nchi hiyo maarufu kama White House jijini Washington DC * *[image: IMG_3118]* *Mama Balozi Liberata Mula mula akipokelewa na mama Munanka baada ya kukutana na kujitambulisha kwa rais Obama huko White house alhamisi. Balozi Mula mula alitoa shukrani za dhati kwa mabalozi wenzake waliofika kumpongeza pamoja na Mh.EL mbunge wa Monduli na watanzania wote waliokuwapo kwa kuhudhuria hafla hiyo. Pamoja na mambo mengine alieleza pia kushangazwa ... more »

President Kikwete meets Standard Chartered CEO Liz Lloyd at Dar es Salaam State House

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 10 hours ago
** *President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete in conversation with Standard Chartered Bank Chief executive Officer(CEO) Liz Lloyd at Dar es Salaam State House this afternoon. On the left is Head of Corporate Affairs Ms.Juanita Mramba. * ** *President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete pose for a photograph with the Standard Chartered Bank Chief Executive Officer(CEO) Liz Lloyd(left) at State House Dar es Salaam this afternoon. On the right is the bank’s Head of Corporate Affairs Ms. Juanita Mramba(photos by Freddy Maro) *

WENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MAREHEMU DAVID MAJEBELLE

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 11 hours ago
** * Mwili wa marehemu David majebelle ukiwasili nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam.* ** * Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu David Majebelle likiwa nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam wakati wa ibada.* ** * Ibada ya kumuimbea marehemu David Majebelle ikiendelea kanisani.* ** * Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.* ** * Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu David Majebelle ukishushwa kaburini.* ** *Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula (kushoto), akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu David Michael Majebele, wakati wa mazishi yake yaliy... more »

SAMSUNG YAJA NA MBINU MPYA YA KUEPUKA BIDHAA FEKI YA PROGRAMU YA E-WARRANT

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 11 hours ago
** * Meneja mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Samsung,Sylvester Manyara (wa pili kulia) akimpigia simu mshindi wa TV ya Samsung nchi 32 wakati wa kucheza droo kwa wateja wa kila mwezi wa bidhaa za kampuni hiyo,ambapo mkazi wa Dar es Saalaam, Goodluck Mumvuri alijishindia.Kutoka kulia ni Kutoka kushoto ni Meneja wa Tawi la Samsung Quality Center, Jafari Adam,Mwakilishi wa Bahati na sibu ya Taifa,Mrisho Milao na Mkaguzi wa bidhaa za Samsung,Sadic Abbas.* ** * Meneja mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Samsung,Sylvester Manyara (katikati) na Mkaguzi wa bidhaa za Samsung,Sadic Abbas wa... more »

KWIECO WAFANYA MKUTANO MKUU MKOANI KILIMANJARO

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 11 hours ago
** *Wajumbe wa mkutano mkuu wa shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na maswala ya jinsia na wanawake mkoani Kilimanjaro, (KWIECO) wakifanya sala kabla ya kuanza kwa mkutano mku wa shirika hilo. * ** *Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na maswala ya jinsia na wanawake mkoani Kilimanjaro, (KWIECO) Clement Kwayu akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa shirika hilo. * ** *Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na maswala ya jinsia na wanawake mkoani Kilimanjaro, (KWIECO) Elizabeth Minde akizungumza wakati wa mkuta... more »

TAASISI YA MISA NA UBALOZI WA CANADA WAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI NCHINI

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 11 hours ago
** *MWENYEKITI wa Taasisi ya Habari Kusini mwa Afrika kanda ya Tanzania (MISATAN), Mohammed Tibanyendera akizungumza muda mfupi kabla mkaribisha Balozi wa Cananda Nchini Tanzania, Alexandre Leveque kufungua mafunzo ya Waandishi wa Habari wa Tanzania kutoka vyombo mbali mbali yaliyoandaliwa na MISATAN kwa kushirikiana na Ubalozi wa Canada Nchini ,mafunzo hayo yalifanyika katika kituo cha British Council Jijini Dar es Salaam. * ** *Balozi wa Canada Nchini Tanzania, Alexandre Leveque akifungua mafunzo ya siku moja kwa Waandishi wa Habari wa Tanzania kutoka vyombo mbali mbali yaliyoandal... more »
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment