Pages

Ads 468x60px

Sunday, July 21, 2013

WILAYA YA HAI YAZIDI KUSONGA KIMAENDELEO

WILAYA YA HAI YAINGIA USHIRIKIANO NA SWEDEN

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 2 hours ago
** *Ujumbe wa viongozi kutoka wilaya ya Hai wakiwa na mwnyeji wao ambaye ni mratibu wa miradi mbalimbali ya maendeleo na pia ni diwani,Stina Johansson (wa tatu kulia).Wengine kutoka kulia ni Novatus Makunga[mkuu wa wilaya ya Hai],Clement Kwayu[mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Hai]Melkizedeck Humbe[Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Hai] na Ester Mbatiani ambaye ni Afisa mipango mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Hai. * * * *Na Richard Mwangulube* * * *Halmashauri ya wilaya ya Hai,imeingia mkataba wa miaka minne wa ushirikiano na Manispaa ya Arvidsjaur nchini Sweden un... more »
WILAYA
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment