Pages

Ads 468x60px

Thursday, July 18, 2013

HABARI MPYA

NEEMA YA MAJI KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUPITIA USHIRIKIANO BAYANA YA TANZANIA NA UJERUMANI

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 4 hours ago
*Dar es Salaam ni moja ya majiji ambayo yanakua kwa kasi kiuchumi. Hii ni kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu, uwekezaji, Viwanda nk. Haya yote yamekuwa yanachangia kwa sehemu kubwa ongezeko la uhitaji wa maji na inakadiriwa kuwa kwa miaka 15 ijayo uhitaji utaongezeka mara mbili zaidi. * * * *Inakadiriwa kuwa zadi ya asilimia 50 ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam hawajafikiwa na huduma ya maji ya bomba. Matumizi ya maji ya kisima kwa jijini Dar es Salaam ni tatizo kutokana na uchafuzi wa mazingira utokanao na Viwanda, maji taka na taka za wakazi wa jiji hilo. * * * *Hii sasa yawe... more »

ZIARA YA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI , ABDULAZIZ ABOOD AKIKAGUA SHUGHULI ZA MAENDELEO YA WANANCHI IKIWEMO UJENZI WA BARABARA ZA KIWANGO CHA LAMI.

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 4 hours ago
** * Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood ( kati kati) pamoja na Meya wa Manispaa ya Morogoro , Amiri Nondo, ( mwenye kuvaa koti) Julai 18, 2013, wakibadirishana mawazo wakati wakikagua ujenzi wa barabara ya Seng’ondo iliyopo eneo la Kata ya Boma, ambayo Meya huyo ni Diwani wa Kata , barabara hiyo inayojengwa kwa kiwango cha lami na Kampuni ya Uhandisi ya CGI na kutaraajiwa kukamilika Augosti mwaka huu.( Picha na John Nditi).* ** * Mbunge Abdulaziz Abood ( kushoto) akiwa na Mwalimu wake ,Madelina Lungu aliyemfundisha wa Shule ya Msingi ya Bungo, mwaka 1967 darasa ... more »

TPA WAONGEA NA WAANDISHI KUELEZEA MAFANIKIO NA MIKAKATI YA KUBORESHA HUDUMA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 4 hours ago
** *Viongozi wakuu wa idara mbalimbali za TPA wakiongea na waandishi wa Habari leo ukumbi wa Maelezo, kuhusu mafanikio yaliyopatikana na mikakati mbalimbali ya kuboresha huduma kwa wateja, kutoka kulia ni Mkurugenzi wa ICT TPA Mr. Magesa, Mkugurenzi Msaidizi wa Maelezo Ms.Kawawa, Meneja Mawasiliano TPA Mrs. Ruzangi, Meneja wa Bandari ya Dar Mr.Masawe, Mkurugenzi wa Mipango TPA Mr.Urioh. *

WAZIRI WA UCHUKUZI, DKT. HARRISON MWAKYEMBE AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMPUNI YA ALHAYAT INVETMENT NA NEMBRAS INVESTMENT YA NCHINI OMAN

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** *Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia), akifafanua jambo kwa Mweyekiti wa Kampuni ya Alhayat Investment na Nembras Investment ya nchini Oman, Shekhe Salim Al-Harthy, wakati walipomtebelea ofisini kwake leo mchana. Kampuni ya Alhayat investment ni kampuni ambayo imeonyesha nia ya kuwekeza kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).* ** * Mwenyekiti wa Kampuni ya Alhayat investment na Nembras Investment ya nchini Oman, Shekhe Salim Al-Harthy akifafanua jambo kwa Waziri wa Uchukuzi,Dkt. Harrison Mwakyembe(kulia),wakati mwenyekti huyo alipomtembelea ofisni kwake leo mchana... more »

Waziri Mkuu akiwa Wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** *Waziri Mkuu, Mizenfo pinfa akiwapungia wananchi wa kijiji cha Kiagara wilayani nyassa akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 182013. Kulia ni mkewe Mama Tunu Pinda. * ** *Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda (wapili kushoto)akitazama kazi za mikono alizozawadiwa na wanawake wa Lituhi wilayani Nyassa akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 17,2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). *

DC HANDENI AAGIZA WAFANYABIASHARA KUTOA STAKABADHI KWA KUTUMIA MASHINE ZA TRA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** *Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi.* * Serikali wilayani Handeni mkoani Tanga, imewataka Wafanyabiasha wilayani humo, kuhakikisha kuwa wananunua na kutumia mashine za TRA za kielektroniki (EFD) katika kutoa risiti wakati wanapouza bidhaa zao kwani kutotoa stakabadhi ni kosa la jinai.* * * *Agizo hilo limetolewa leo na Mkuu wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga Bw. Muhingo Rweyemamu, wakati alipokuwa akifanya uzinduzi wa matuminzi sahihi ya mashine hizo za kielektroniki (EFD) wilayani humo na kusema kuwa itakapobainika kwa mfanyabiashara anauza bidhaa bila ya kutoa stakabadhi atac... more »

UCHAGUZI WA TFF KUFANYIKA SEPTEMBA 29,KAMATI YA MAJAJI YAPANGWA KUONGOZA MCHAKATO MZIMA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
* * *Wakati uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ukiwa umepangwa kufanyika Septemba 29, Majaji na wanasheria wametangazwa kuongoza kamati mbali mbali za shirikisho hilo.* * Kikao cha kamati ya utendaji kilichoketi jana kilifanya mabadiliko kwenye kamati zake mbali mbali ikiwa ni pamoja na kutekeleza agizo la FIFA lilitolewa Aprili mwaka huu baada ya kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa TFF, na kuagiza kwanza yafanyike marekebisho ya Katiba ili kuingiza Kamati ya Maadili, na Kamati ya Rufani ya Maadili ambavyo ndivyo watashughulikia matatizo ya kimaadili kwa familia y... more »

Orange-Fleshed Sweet Potatoes event

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** *USAID/Tanzania Mission Director Sharon L. Cromer delivers remarks about the nutritious and economic benefits of Orange Fleshed Sweet Potatoes during the Orange Fleshed Sweet Potato Harvest held in Mikocheni on Wednesday, July 17th. * ** *A member of the Tanzania Agriculture Productivity Program, sponsored by USAID through the Feed the Future Initiative explains appropriate planting and harvesting techniques of the nutritious Orange Fleshed Sweet Potato. *

TAARIFA KWA UMMA:USALAMA WA DAWA AINA YA DICLOFENAC

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** * * 1. *Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ina jukumu la kulinda na kudumisha afya ya jamii kwa kuhakiki ubora, usalama na ufanisi wa vyakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba.* * * 1. *Hivi karibuni, TFDA imepokea taarifa ya kuwepo kwa hofu juu ya usalama wa dawa aina ya Diclofenac kupitia mitandao ya simu na vyombo vya habari. Kufuatia taarifa hiyo, TFDA inapenda kutoa ufafanuzi kama ifuatavyo: * * * *a. Diclofenac ni dawa iliyoko kwenye kundi la dawa zinazojulikana kitaalam kama “Non – Steroidal Anti-inflammatory Drugs”(NSAIDs). Dawa hizi hutumika kutu... more »

Prof. Mbarawa atoa somo kwa nchi zinazopitiwa na Bonde la Ufa

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** *Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa akiwasilisha mada wakati wa mkutano maalumu wa kuangalia changamoto na hatua mbalimbali za kimaendeleo katika sekta ya TEHAMA kwa nchi zilizo katika ukanda wa Bonde la Ufa jijini Dar es Salaam jana. * ** *Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mkutano maalumu wa kuangalia changamoto na hatua mbalimbali za kimaendeleo katika sekta ya TEHAMA kwa nchi zilizo katika ukanda wa Bonde la Ufa jijini Dar es Salaam jana. Wengine katikati ni Com... more »

Wananchi Sasa Kupata Taarifa za Huduma za RITA kwa ‘Sms’ , Tovuti na Mitandao ya Kijamii

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** *Naibu Waziri Angellah Jasmine Kairuki akizungumza katika hafla ya uzinduzi rasmi wa huduma ya mpya ya kidijitali za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) ambazo zitawawezesha wananchi wote wenye simu za mkononi na mtandano kupata huduma mbali mbali za RITA kwa kutumia simu zao za mikononi. * ** *Mkurugenzi Mtendaji wa Push Media Mobile, Freddie Manento akifafanua jambo katika wakati wa uzinduzi wa huduma ya mpya ya kidijitali za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) ambazo zitawawezesha wananchi wote wenye simu za mkononi na mtandano kupata huduma mbali mbali za RIT... more »

TANZANIA YAPOKEA MKOPO WA BILIONI 87 ZA UJENZI WA VITUO VYA KUHIFADHIA VITAMBULISHO VYA TAIFA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 5 hours ago
** * Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa kushoto akiwa na Mwenyekiti na Rais wa Benki ya Export Import ya Korea wakionyesha mkataba wa mkopo wenye thamani ya shilingi billioni 87 za kitanzania,waliosaini kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa leo jijini Dar Es Salaam. * ** ** * Waziri wa Fedha Dk.William Mgimwa kushoto akiwa na Mwenyekiti na Rais wa Benki ya Export Import ya Korea wakionyesha mkataba wa mkopo wenye thamani ya shilingi billioni 87 za kitanzania,waliosaini kwa ajili ya kujenga vituo vya kuhifadhi vitambulisho vya Taifa leo jijini Dar Es Sala... more »

CHAJA YA READYSET KUTOA NJIA MBADALA YA CHANZO CHA NISHATI.

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 9 hours ago
** * Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania, kupitia mradi wa"Readyset Charge" Bw. Nicholaus Kizenga,akiwaonesha wakazi wa Ubungo jijini Dar es Salaam jinsi yakutumia chaji hiyo inayotumia mionzi ya jua,zinazopatikana katika maduka ya Vodacom nchini na zinatumika kwa ajili ya kuchajia simu za mkononi na matumizi mbalimbali ya kibiashara,kwa wajasiriamali wadogowadogo ,Elimu hiyo ilifanywa na kampuni ya Fenix International kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania.* ** * Mfanyabiashara wa Ubungo jijini Dar es Salaam Rashid Ally(katikati)akimsikiliza Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania, kupitia m... more »

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AREJEA NCHINI.

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 9 hours ago
** * Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiteremka kwenye ndege GF1 alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam akitokea Nchini Nigeria alikohudhuria mkutano wa Umoja wa Afrika uliojadili mbinu za kukabiliana na Ukimwi, Malaria na kifua kikuu ambapo aliwaambia wajumbe wa mkutano huo kuwa Tanzania itafikia malengo ya Umoja wa Afrika iliyojiwekea katika kukabiliana na Magonjwa hayo, mkutano huo ulimalizika jana July 17-2013 mjini Abuja Nchini Nigeria (Picha na OMR)* ** * Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ... more »

Explore The Human Potential

MK at MICHUZI - 10 hours ago

WAFANYAKAZI WOTE WA AIRTEL DAR WAINGIA MITAANI KUTOA SOMO JINSI YA KUJIUNGA NA AIRTEL YATOSHA NA SHINDA NYUMBA LEO

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 11 hours ago
*Mkurugenzi wa Airtel huduma kwa wateja Bi Adriana Lyamba LEO amesema Airtel inafanya zoezi la kuingia mtaani jijini dar es salaam na wafanyakazi wao wote wa ofisi kuu jijini Dar es salaam kwa lengo ka kuhakikisha kuwa kila mteja anafahamu jinsi ya kufaidika na huduma zao zote ikiwemo ya Airtel Yatosha ambapo mteja hujiunga kwa kupiga *149*99# Kisha kuchagua kifurushi nafuu cha SIKU WIKI AU MWEZI ili kuongea kwa gharama nafuu kwenda mtandao wowote nchini Tanzania * ** * Meneja Uhusioano wa Airtel jackson mmbando akibadilishana mawazo na Maafisa mauzo wa Airtel wa mkoa wa Dar es Sala... more »

ANGALIZO LA GLOBU YA JAMII: HUDUMA ZETU NI ZA BURE

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 12 hours ago
*HABARI ZA KIJAMII KAMA VILE MISIBA, HARUSI, SHEREHE ZA KUZALIWA NA NYINGINE AINA HIYO HUCHAPISHWA NASI BILA MALIPO. HALI KADHALIKA HABARI NA PICHA KUTOKA SEHEMU YOYOTE ILE HUCHAPISHWA BURE. HII NI KATIKA KUHAKIKISHA TUNADUMISHA SERA YETU YA KUHUDUMIA JAMII BILA MALIPO. KAMA UTADAIWA CHOCHOTE TOKA KWA MTU YEYOTE UJUE HUO NI UTAPELI AMBAO HAUHUSIANI NA GLOBU YA JAMII.* * * *TUMELAZIMIKA KUTOA UJUMBE HUU KWANI HABARI ZIMETUFIKIA KWAMBA KUNA WATU WANAPITA HUKU NA KULE WAKIJITAMBULISHA KAMA WAKALA, WAANDISHI AMA WAPIGA PICHA WA GLOBU YA JAMII NA KUDAI CHOCHOTE KUTOKA KWA WAHUSIKA, KWA... more »

TUFURAHIE HEPI BESDEI YA KUZALIWA MADIBA NA SIKU YA MANDELA DAY LEO

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI - 12 hours ago
** *Ankal akiwa katika sebule ya nyumba aliyokuwa akiishi Mzee Nelson Mandela Mtaa wa Vilakazi namba 8115 huko Orlando ya Magharibi, Soweto, Afrika Kusini. Hii ilikuwa Julai 18, 2010 wakati wa kuadhimisha Hepi Besdei ya miaka 92 ya kuzaliwa kwa Madiba. Leo Globu ya Jamii inaungana na wadau wote duniani kuadhimisha miaka 95 ya shujaa huyu wa Afrika anayependwa na kila mtu.* *Ikumbukwe pia kwamba leo ni siku ya Kimataifa ya Mandela kama ilivyotangazwa na Umoja wa Mataifa mwaka 2011.* *Tunamtakia aendelee kupata nafuu na aweze kuinuka kitandani huko hospitali alikolazwa kwa mwezi mmoja ... more »
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment