Katibu
Mkuu wa CCM, Kanali Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mjumbe wa
Kamisheni wa Chama cha Frelimo cha Msumbiji Jenerali Raimundo Domingos,
katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es
Salaam.
Katibu Mkuu wa CCM, Kanali Abdulrahman Kinana akizungumza na Mjumbe wa Kamisheni wa Chama cha Frelimo cha Msumbiji Jenerali Raimundo Domingos, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa CCM, Kanali Abdulrahman Kinana akizungumza na Mjumbe wa Kamisheni wa Chama cha Frelimo cha Msumbiji Jenerali Raimundo Domingos, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment