Pages

Ads 468x60px

Tuesday, July 23, 2013

majeruhi 17 wa shambulio la Darfur waendelea vyema na matibabu

 Baadhi ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa walioshambuliwa Julai 13, 2013  wakiwa katika hospitali ya UNAMID huko Nyala, Kusini mwa Darfur. Katika shambulio hilo askari saba wa Tanzania walipoteza maisha. Hawa ni miongoni mwa askari 17 waliojeruhiwa katika shambulio hilo, wakiwemo askari wanawake wawili ambao ni washauri wa Polisi. Kwa mujibu wa habari kutoka hospitalini hapo, hali za majeruhi zinaendelea vyema 
Gari walilokuwa wakisafiria askari hao wakati wa shambulio
 Baadhi ya majeruhi wakiwa hospitalini
Baadhi ya sakari wa kulinda amani kutoka Tanzania wakiwa Darfur
 Gari lililoshambuliwa
 Mmoja wa majeruhi akiwa hospitali
 Wakuu wa UNAMID Darfur wakimpa pole mmoja wa askari mwanamke aliyejeruhiwa
 Wakuu wa UNAMID wakitembelea majeruhi
Gari lililoshambuliwa. Picha zote na UNAMID
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment