Pages

Ads 468x60px

Monday, July 22, 2013

JAJI WEREMA ATOA DARASA

WEREMA AWAASA MAWAKILI WA SERIKALI KUFANYA KAZI KWA UZALENDO NA KUWAHUDUMIA WATANZANIA

*Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo amefungua mafunzo ya awali kwa mawakili wapya wa serikali wapato 33 kwenye hoteli ya giraffe, Dar-es-salaam. Mambo aliyotilia mkazo ni kuepuka vitendo vya rushwa, kuwatumikia watanzania wa tabaka zote, kufanya kazi kwa juhudi na kutambua ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali sio sehemu ya kufanikisha maslahi binafsi. * ** *Mwanasheria Mkuu wa Serikali akitoa nasaha wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya awali kwa mawakili wapya wa serikali. Kulia ni Mkurugenzi wa Mashtaka Dkt Eeliezer Feleshi na kulia ni Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Abdulrahman Mdimu* ** ... more »
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment