Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, akifunguza majadiliano
kuhusu mazingira yanayochangia kuendenea kwa vitendo vya kigaidi.
majadiliano hayo yamefanyika siku ya Jumatano yakitangulia mkutano wa
nne utakafanya tathmini kuhusu Mkakati wa Umoja wa Mataifa wa Kudhibidi
Ugaidi. Katika salamu zake, Katibu Mkuu amesema hakuna sababu iwayo
yoyote ile inayoweza kuhalalisha ugaidi. Kulia kwake ni Rais wa
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Bw, John Ashe .
Wajumbe ukumbini




No comments:
Post a Comment