Pages

Ads 468x60px

Friday, January 24, 2014

SHUGHULI MBALIMBALI ZA RAIS KIKWETE AKIWA MJINI DAVOS, USWISI

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa mkutano wa kujadili namna ya kuongeza kasi ya uboreshaji wa kilimo uliofanyika mjini Davos,Uswisi usiku wa kuamkia leo Januari 23, 2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza,Mhe. Niuck Clegg wakati walipokutana na kufanya mazungumzo katika hoteli ya Sheraton mjini Davos, Uswisi leo Janaury 23, 2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya JETRO ya Japan katika hoteli ta Sheraton mjini Davos,  Uswisi leo January 23, 2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya JETRO ya Japan katika hoteli ta Sheraton mjini Davos, Uswisi leo January 23, 2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa ya Marekani (USAID) Mhe Rajiv Shah katika ukumbi wa mikutano wa Davos, Uswisi, January 23, 2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa ya Marekani (USAID) Mhe Rajiv Shah mara baada ya mazungumzo yao katika ukumbi wa mikutano wa Davos, Uswisi, January 23, 2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza katika mkutano wa kujadili namna ya kuongeza kasi ya uboreshaji wa kupatikana na kulinda maji salama kwa miaka ijayo katika hoteli ya Derby,mjini Davos Uswisi Januari 23, 2014.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishangiliwa mara baada ya kuhutubia wakati wa mkutano wa kujadili namna ya kuongeza kasi ya uboreshaji wa kupatikana na kulinda maji nsalama kwa miaka ijayo katika hoteli ya Derby,mjini Davos Uswisi Januari 23, 2014. PICHA NA IKULU.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment