Pages

Ads 468x60px

Saturday, December 21, 2013

TCRA YAWAFUNDA WAANDAJI WA VIPINDI NA WATANGAZAJI WA REDIO KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI

Jumamosi, 21 Desemba 2013


Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya Tcra ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi, Magreth Mnyagi amesema lengo la washa hiyo ni kuwakumbusha watangazaji kuhusu kufuata maudhui yaliyokusudiwa yanayoelimisha na kuburudisha jamii na kuwa chachu ya maendeleo ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Mgeni rasmi wa Washa hiyo, Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Mbeya, Leonard Magacha ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro amesema kukiuka kwa maadili katika baadhi ya vituo vya utangazaji kunatokana na wamiliki kuwaajiri wafanyakazi wasiokuwa na taaluma ya Utangazaji.




Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) Kanda ya Mbeya MhandisDeogratius Moyo wana warsha kuchangia mada

Frederick  Ntobi Naibu Mkurugenzi idara ya utangazaji Mamlaka ya mawasiliano akiwafunda waandaaji wa vipindi  na watangazaji wa radio kanda ya nyanda za juu kusini


Meneja Mawasiliano wa TCRA, Innocent Mungy akiongoza mijadala katika Warsha ya Siku Mbili kwa kwa waandaaji wa vipindi na watangazaji wa Radio


Baadhi ya watangazaji wakichangia mada


Picha ya pamoja
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment