TCRA YAWAFUNDA WAANDAJI WA VIPINDI NA WATANGAZAJI WA REDIO KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI
Jumamosi, 21 Desemba 2013
| Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) Kanda ya Mbeya MhandisDeogratius Moyo wana warsha kuchangia mada |
| Frederick Ntobi Naibu Mkurugenzi idara ya utangazaji Mamlaka ya mawasiliano akiwafunda waandaaji wa vipindi na watangazaji wa radio kanda ya nyanda za juu kusini |
|
Meneja
Mawasiliano wa TCRA, Innocent Mungy akiongoza mijadala katika Warsha ya
Siku Mbili kwa kwa waandaaji wa vipindi na watangazaji wa Radio
|
| Baadhi ya watangazaji wakichangia mada |
| Picha ya pamoja |




No comments:
Post a Comment