JUMUIA YA WAZAZI YA CCM KINONDONI WAENDA KUJINOA MOROGORO
Wakisubiru usafiri ofisi ya CCM wilaya ya Kinondoni
Wawakilishi kutoka Kata ya Kawe wakiwa ofisi ya CCM Kinondoni kabla ya safari
Baadhi ya viongozi wa Jumuia hiyo wakiwa Oofisi ya CCM Kinondoni
Baadhi wakitaniana kabla ya safari
Mwenyekiti wa Jumuia aya Wazazi Kata ya Tandale, Yahya Akilimali aka Mzee wa Yanga, akifurahia jambo na Katibu wa Jumuia hiyo Kata ya Goba, Rehema Ngulume, kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Kinondoni kabla ya safari hiyo
Wakiondoka kwenye ofisi ya CCM wilaya ya Kinondoni kwenda kupanda basi lililowafuata kwenye ofisi hiyo
Wakipanda basi





No comments:
Post a Comment