Pages

Ads 468x60px

Tuesday, August 6, 2013

MKOA WA VYUO VYA ELIMU YA JUU CCM WAFANYA KUBWA LA WASOMI WA VYUO VIKUU KUJADILI RASIMU YA KATIBA,GESI MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 55 minutes ago

** * Sehemu ya Vijana wa Vyuo Vikuu walioshiriki Kongamano la kujadili Rasimu ya Katiba Mpya na Rasilimali za nchi yetu.* ** * Baadhi ya Mafisa wa Mkoa wa Vyuo Vya Elimu ya Juu CCM wakiwa na mgeni rasmi wa Kongamano,Mheshimiwa Profesa Sospeter Muhongo,katika ukumbi wa Riverside,Ubungo.* ** * Baadhi ya washiriki wa Kongamano wakifuatilia kwa makini hotuba ya Profesa Muhongo alipokuwa akichambua masuala ya gesi na uchumi.* ** *Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbali mbali nchini wakichukua habari za Kongamano la Kujadili rasimu ya Katiba mpya na rasilimali lililofanyika katika ukumbi wa... more »
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment